BABA BONY AGEUKA MBOGO MBELE YA WANANANCHI SASA NI MAELEKEZO KUTOKA JUU CHADEMA

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 27 мар 2025
  • Endelea kufuatilia taarifa mbalimbali za kina na zenye ukweli na kuaminika
    Tufuatilie kupitia mitandao yangu kila siku kama ifuatavyo:-
    Facebook: / kusagamedia
    Instagram: / kusaganews
    RUclips : www.youtube.co...
    Tiktok. www.tiktok.com...

Комментарии • 54

  • @ceciliamagalabajimmy4391
    @ceciliamagalabajimmy4391 8 часов назад +5

    Umeongea kwa uchungu ndugu yangu. Mungu akubariki na kukulinda baba.

  • @Landisy
    @Landisy 9 часов назад +6

    Duuu! Vjana ni aibu kwetu huyu mzee yuko vzr ila vjana wa nchi hii tumelala sana na huku tunako enda ni giza nene katika nchi hii no reform no election jamani

  • @DoraNyandamba7078-ef2rz
    @DoraNyandamba7078-ef2rz 10 часов назад +6

    Hongera baba umeongea vizuri watanzania wanaitaji busara zako

  • @GabrielOmassawe
    @GabrielOmassawe 10 часов назад +4

    Hongera sana baba bon juuuuuuuuuuuu 💪🏿💪🏿💪🏿✌🏿✌🏿✌🏿✌🏿✌🏿✌🏿✌🏿✌🏿✌🏿✔️tuko tayari baba

  • @boniphacemabungo7064
    @boniphacemabungo7064 5 часов назад +2

    Mzee anaakili Sana,mzee mmoja ni sawa na mafsiemu buku

  • @Laluma2023
    @Laluma2023 7 часов назад +3

    Nakupenda sana baba Bon jimbon kwangu ningekuwa na wazee kama wewe ningevimba sana kisiasa

  • @JacobJamesMasangula-oo6pt
    @JacobJamesMasangula-oo6pt 8 часов назад +3

    Baba Boni Yuko vizuri

  • @cosmaswilliam3805
    @cosmaswilliam3805 4 часа назад +2

    Kelele ya mzee ipo siku ccm mtajuta.

  • @DoraNyandamba7078-ef2rz
    @DoraNyandamba7078-ef2rz 10 часов назад +5

    Serious tanzania mbele

  • @adamuabdul3240
    @adamuabdul3240 11 часов назад +4

    Baba Bon oyeeeeer

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 6 часов назад +3

    Mungu atasimama upande wa.haki

  • @albertkamala6843
    @albertkamala6843 11 часов назад +5

    Mzee wa ukweli!

  • @AllanRashidMbezi
    @AllanRashidMbezi 7 часов назад +3

    ALITUMA WATU KWENDA DUBAI ETI KUJIFUNZA NAMNA YA KUENDESHA BANDARI KUMBE NI ZURUZUNGA ILI AWEZE KUIGAWA.

  • @BonifaceBonala-w9j
    @BonifaceBonala-w9j 6 часов назад +3

    Upo sawa baba yangu nipo na wewe na cdm yetu

  • @SamuelLainzar
    @SamuelLainzar 5 часов назад +1

    Mzeee umeongea point 👉❤❤❤❤

  • @AbubakariSaidi-x5k
    @AbubakariSaidi-x5k 3 часа назад +1

    Sawa mzee

  • @ZainabuBilaly
    @ZainabuBilaly 7 часов назад +2

    Safiii mzeee

  • @MasaweMasawe-r5b
    @MasaweMasawe-r5b 9 часов назад +1

    Kabisa baba boni🎉🎉

  • @ThomasKaungo
    @ThomasKaungo 3 часа назад

    Hongera sana baba bony unafaa sana

  • @khalidmamdadi1072
    @khalidmamdadi1072 8 часов назад +2

    Baba boni shikamooooo

  • @rebekakulwa6159
    @rebekakulwa6159 5 часов назад +1

    Amani. Ya mama yako. Amani. Kwa haki gani hivi nyie makijani mbona mnatudharau sana utafukiri. Mna hati milik tena mkome

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 4 часа назад

    Baba Bon on 🔥 🎉

  • @jeromendetaulwa3466
    @jeromendetaulwa3466 8 часов назад +1

    naombeni namba zake huyo kamanda tumuite huku awaaamshe huku wamelala

  • @robertzamani5612
    @robertzamani5612 11 часов назад +6

    Sasa kama huyu Mzee anajielewa vipi sisi vijana bado hatutaki mabadiliko

  • @ChristopherShirima-r5c
    @ChristopherShirima-r5c 4 часа назад

    Jamen tume huru na katiba mpya ni muhimu Sanaa tupate viongoz wa haki waliochaguliwa na raia

  • @mlyamalitv1789
    @mlyamalitv1789 2 часа назад

    Asante baba❤

  • @HorizonLtd-ty7ep
    @HorizonLtd-ty7ep 6 часов назад +1

    Ivi wanao piga kula huwa ni wakinanan?......
    Tujifunze tuwe tunajitokeza kwenye kupga kula

  • @mawingu_tv
    @mawingu_tv Час назад

    Camera vp mbona hamjachukua mikono😅😅😅

  • @THEKINGOFBAHARIA
    @THEKINGOFBAHARIA 3 часа назад

    Nikwer mzee Wetu inji imebaki ni ya askali na viongozi wake

  • @AllanRashidMbezi
    @AllanRashidMbezi 7 часов назад +2

    BABA BONI UNA AKILI KULIKO MAKALLAPOX AMBAYE ANAWAZA BADALA YA KUFIKIRI. TUNATAKA MABADILIKO.

  • @Josephukijiji
    @Josephukijiji 4 часа назад

    Wanaogopa. Kushitikiwa wameifilizi nchi

  • @BungeyiSaiboku
    @BungeyiSaiboku 9 часов назад +1

    Baba boni oyeee

  • @kobelochamanga9757
    @kobelochamanga9757 11 часов назад +1

    Mkoroni makala

  • @MchungajiNzelani
    @MchungajiNzelani 6 часов назад

    Hivi watu wa arusha wamekuwaje!!

  • @DoraNyandamba7078-ef2rz
    @DoraNyandamba7078-ef2rz 10 часов назад

    Walifungwa midmorning na ufahamu

  • @meckgodfrey7334
    @meckgodfrey7334 10 часов назад

    🎉🎉🎉❤

  • @faustinejeremia8520
    @faustinejeremia8520 11 часов назад

    💔💔💯💯💯

  • @TwahirBurhan
    @TwahirBurhan 9 часов назад +1

    MZEE UNAZEEKA VIBAYA NA WEWE NI FEKI

    • @ThomasMwadia
      @ThomasMwadia 8 часов назад

      Baba aako anamfikia.....

    • @TM-zs3rm
      @TM-zs3rm 7 часов назад

      Shenzi Twshir. Acha yaranı wako na hamia huko Oman ukase mtumwa wao. Vibaraka nyie

  • @TwahirBurhan
    @TwahirBurhan 9 часов назад +1

    ACHENI UPUMBAFU WENU UROHO WA MADARAKA YA VIONGOZI WENU MNATAKA KUVURUGA AMANI YA NCHI....MTAFELI NYIE KWA UWEZO WA ALLAH.

    • @Landisy
      @Landisy 9 часов назад

      Toa miwani uone vzr maana huoni wala usikii

    • @ceciliamagalabajimmy4391
      @ceciliamagalabajimmy4391 8 часов назад

      Hujui hata anayevuruga amani, bora ungekaa kimya. Mauwaji, utekaji ndio amani yako wewe.

    • @Lubango-gj3ud
      @Lubango-gj3ud 7 часов назад

      Wewe utakuwa mnufaika wa mfumo unaoendelea sasa ,pole sana !!!!

    • @AllanRashidMbezi
      @AllanRashidMbezi 7 часов назад

      Amani iko wapi kila siku watu wanatekwa, wanavunjiwa nyumba zao na kuchomewa nyumba zao alafu hakuna anayekemea. Hatutaki kuongozwa na Rais wa Nchi jirani Hana msaada wowote kwetu. TUMEMCHOKA

    • @Lubango-gj3ud
      @Lubango-gj3ud 7 часов назад

      @@TwahirBurhan wewe utakuwa chawa wa mfumo wa maccm