LUTENGANO umbili

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 11 апр 2025
  • TUMWIMBIE MUNGU WETU: Hii ni kwaya ya Moravian Ushirika wa Lutengano-Tukuyu-Mbeya.Wimbo unaelezea jinsi ambavyo mwili hupingana na roho hata kujiangamiza wenyewe.Karibu,hii ni AMANI TV

Комментарии • 198

  • @johnmakumbi2961
    @johnmakumbi2961 7 месяцев назад +130

    Wenye tumeletwa thru tiktok ,,,like tukisonga

  • @Grace-f9e6g
    @Grace-f9e6g Год назад +26

    Mbinguni tungekua tunaenda kwa kuimba basi wanyakyusa tungeanza😂❤❤❤❤

  • @elinasambo3705
    @elinasambo3705 7 месяцев назад +19

    Wakati wa Mungu ni sahihi, hii nyimbo Ina miaka mingi lakini inapata umaarufu kipindi hiki❤

  • @TheclaMunish
    @TheclaMunish 7 месяцев назад +24

    Moja ya kabila ninalolipenda jmn,mbeya the green city,sielewi lugha ila nawafurahia💃💃

    • @simonkimweri1735
      @simonkimweri1735 7 месяцев назад

      Kama mm.sielewi but naenjoy.

    • @kamagezebedayo8577
      @kamagezebedayo8577 6 месяцев назад +1

      Nikupe tafsir

    • @MrSeza
      @MrSeza 27 дней назад

      Napenda kujuwa maana yake jamani nimependa sana haka kawimbo, anaejuwa tafadhali aje anifundishe kinyakusa

    • @PendoMwaipyana-i3c
      @PendoMwaipyana-i3c 18 дней назад

      Ndaga fijo mkamu

  • @DivineWisdom-o8y
    @DivineWisdom-o8y 7 месяцев назад +8

    I had great time in mbeya as a student, people from mbeya are so loving and caring

  • @shyneafya
    @shyneafya 7 месяцев назад +11

    Kweli nimeamin wakat wa Mungu n sahihi yan mm nakumbuka nimewahi sikiliza nyimbo nyingi za kinyakuyusa lakini leo wimbo huu unatrend nimefurahii sana kuona wimbo unatrend napenda sana nyimbo zetu za kinyakyusa ❤❤

  • @morriskariuki1856
    @morriskariuki1856 7 месяцев назад +22

    Ndio kufika huku toka TikTok....

  • @meschackumira3245
    @meschackumira3245 7 месяцев назад +10

    I am a Congolese 🇨🇩 but I came to youtube a song found on tiktok😂

  • @derickomoghela9948
    @derickomoghela9948 5 лет назад +7

    Ekhetangalala kya kumwanya kyenu bhatata na bhajubha bhangu. Ulwimbo ulu lukungumbusya kukaja akhabalilo kala abhapapi bhangu bhaliko kubhumi. Aluswe bhanyakyusa.

  • @godfreyouma1139
    @godfreyouma1139 7 месяцев назад +38

    Who is here from ticktok?

  • @vailethpanjobelo
    @vailethpanjobelo 5 месяцев назад +3

    Kipindi kile dunia ilikuwa haiend kas na wat walikuwa wanavaa vizr saahiz wat wanatembea uchi ndo maana mungu ameamua kije darasa kutoka lutengano

  • @salomepeter4719
    @salomepeter4719 7 месяцев назад +35

    From TikTok gonga like hapa

  • @FurahaNjabili-d6z
    @FurahaNjabili-d6z 2 месяца назад +1

    Wapendwa Bwana Yesu atukumbuke ili tushinde Mbinguni ikawe shangwe zaidi nyimbo zenu zinatufariji mno

  • @tulibakokyoma1132
    @tulibakokyoma1132 4 года назад +9

    Ndagha mwimbile bandu bha Kyala,ndagha fiijo mukutukumbusya kukaaja.Nafurahia sana kabila langu la Kinyakyusa

  • @richmwandali5350
    @richmwandali5350 5 лет назад +20

    Mweee bhakajaa etatata!!!.. nikisikia izi nyimbo paka nalia nakumbuka sana nyumbani pindi nikizipigaa paka najiskia raha katika kazi @ Ndaga mwee kukaja koo kwa itunge

  • @PondoNtuly-gn5qi
    @PondoNtuly-gn5qi 9 месяцев назад +5

    Kyala abhasajhe mwe bhakipangu,mwe mwimbile ulwimbo lununu fijho👏👏

  • @peterlutusyo3589
    @peterlutusyo3589 5 месяцев назад +2

    Mungu awabariki wanakwaya wote siku moja ntafika Lutengano tuimbe pamoja❤

  • @teachergodfreypeter9052
    @teachergodfreypeter9052 4 месяца назад +4

    Nawakubali kweli wanyakyusa natamani nipate mke kutoka mbeya.

  • @SariaMunisi-m5b
    @SariaMunisi-m5b 3 месяца назад +1

    Wamechangamka initia raha japo sielewi wanachoimba hongereni sana

  • @hannahtembo8280
    @hannahtembo8280 5 месяцев назад +1

    ❤❤❤ ngighanile ikinyakyusa kyitu

  • @eliudhajilingasiku5512
    @eliudhajilingasiku5512 7 лет назад +12

    Mungu azidi kuwainua watumishi wa BABA yangu wa mbinguni!! Mungu awalipe sawasawa na huduma yenu nzuri!!Ameen

  • @peterkabonga
    @peterkabonga 5 месяцев назад +4

    wanyakyusa kuimba ni zawadi waliyopewa n mungu

  • @bainambisa9332
    @bainambisa9332 7 месяцев назад +8

    From eliud samweli here

    • @poppaclatous
      @poppaclatous 7 месяцев назад

      Tuko wote kanifanya nije niutafute😂😂

  • @farajadashood4661
    @farajadashood4661 6 лет назад +8

    Umbilii ugu tukogosya kangi tukugufwika
    Loli umbili ugu ntula nongwa

  • @mercydaison5083
    @mercydaison5083 6 лет назад +6

    Aisee nazikubali nyimbo zetu kama hizi, MUNGU awabariki watumishi

  • @NancyLyimo-v6p
    @NancyLyimo-v6p Месяц назад

    Naipenda san❤❤❤ wanyakyusa🎉🎉❤

  • @hiarykitaba8742
    @hiarykitaba8742 2 года назад +1

    Mweeh mma bhaghwitu... Urwimbo nunuu uru.. Ndagha bha tata!!!!

  • @poulayubu1755
    @poulayubu1755 5 лет назад +6

    Mweeee kwa kyala kununu ,,

  • @rehemamtenda3032
    @rehemamtenda3032 4 года назад +2

    Mungu awabariki Sana naupenda Sana huu wimbo kila siku lazima niusikilize🙏

  • @attubulenge530
    @attubulenge530 5 лет назад +6

    Eloli ee mwe Kyala abhasajege fijo

  • @SoniaNanguri
    @SoniaNanguri Месяц назад

    I luv this song😊representing kenya

  • @SubiragaKabango
    @SubiragaKabango 6 месяцев назад

    Hongereni sana wanangu SsC hiyo ni HEKIMA NA BUSARA Mbele zake mwenyezi Mungu! Mmeenda kumsalimia Babaaenu Ofisini mwake IKULU ya Zanzibar na kuushika mkono wake wa kuume! Hakika ni BARAKA!(Biblia,Kitabu cha Zaburi 105:14-15 na Kitabu cha EZRA 10:4 In name jesus christ) May GOD be with him!

  • @boazackimu3229
    @boazackimu3229 6 лет назад +10

    Wimbo mzuri sana

  • @rahelykibona7918
    @rahelykibona7918 7 лет назад +6

    nice sana song mungu awabariki

  • @christine12-12
    @christine12-12 Месяц назад +1

    Aisee wimbo wa miaka 7 iliyopita ndo unatrend sshv
    Sio mchezo 🙌🤣
    Mwili huu

    • @bonifacejames34
      @bonifacejames34 9 дней назад

      Ni zaidi ya miaka 7 wimbo uliimbwa miaka ya 90

  • @janemwaura4462
    @janemwaura4462 5 месяцев назад +1

    Wale wameletwa na Tik tok...weka likes
    Am here for the instruments🥰🫶I even have no idea what they are saying..Anyway Umbili🥳😅

  • @dittoalex3821
    @dittoalex3821 5 месяцев назад +5

    Nani anaangalia 7/11/2024 ,like hapa

  • @dianajoseph3762
    @dianajoseph3762 5 лет назад +1

    Eloli bha jubha na bha tata! Ndaga mwimbile!!

  • @JACKSONNTEMBO
    @JACKSONNTEMBO 4 месяца назад

    wimbo mzuri sana nimeupenda mbarikiwe.

  • @davidarabiy3924
    @davidarabiy3924 7 месяцев назад

    Big up sisi wanyakyusa wimbo mzurii sana tuu jaman

  • @elishakasambo3242
    @elishakasambo3242 5 лет назад +5

    Wimbo mzurii ,

  • @boazackimu3229
    @boazackimu3229 7 лет назад +5

    Wimbo mzuri sana,

  • @clemencekisunga2244
    @clemencekisunga2244 4 года назад +1

    Mungu awabaliki watumish wamungu

  • @angelmwandata2233
    @angelmwandata2233 5 лет назад +7

    Ndagha fijo mwimbile!! ❤❤

  • @AminaAthumanimlinja
    @AminaAthumanimlinja 15 дней назад

    Jamani mbona mnanikumbusha mbali sana soko matora

  • @stevenmwakasitu9787
    @stevenmwakasitu9787 6 месяцев назад +1

    Mma ba gwitu, umbili ughu ntulanongwa fijo. Gukutamya

  • @revocatuskashaga9202
    @revocatuskashaga9202 6 месяцев назад

    Bonge la song. Hongera sana Wanyakyusa

  • @rayflies4897
    @rayflies4897 7 месяцев назад +4

    tiktok imenileta huku, listening this with my Luhya ears🙈🤣🤣

  • @Love-zu3qb
    @Love-zu3qb 2 месяца назад

    Aisee napata faraja mno nyimbo zetu

  • @davidarabiy3924
    @davidarabiy3924 6 месяцев назад +2

    Nimekumbka nyumbani jaman nmemic nyimbo hizi

  • @mwasisobajohan7641
    @mwasisobajohan7641 5 лет назад +4

    ndaghaa mwimbilee

  • @victoriajulius7495
    @victoriajulius7495 Месяц назад

    Mimi ni mpare ila nimependa huu wimbo sana

  • @AmbokileOmarymwanyiru
    @AmbokileOmarymwanyiru Год назад

    Hongera sana watumishi wa Mungu kwa utumishi huo

  • @JACKSONNTEMBO
    @JACKSONNTEMBO 4 месяца назад

    nimeuerewa mungu awabariki.

  • @PendoMwansimba
    @PendoMwansimba 2 месяца назад

    ❤❤❤❤asubuh njema

  • @jumamwalughelo1743
    @jumamwalughelo1743 6 лет назад +9

    Ndo kwaya za kuangalia sio kutuvalia NGUO zinawachola mwili

  • @BwikemoMwamgunda
    @BwikemoMwamgunda 3 месяца назад

    Waoooh very good song

  • @aaronalbert5692
    @aaronalbert5692 6 лет назад +4

    Yani wimbo umeniingia mpaka naona amani

  • @lydiachriss8426
    @lydiachriss8426 Год назад +2

    Maana ya wimbo, nimeupenda

    • @florencengwavi6939
      @florencengwavi6939 Год назад +1

      Ndagha mwimbile 🙏 🙏 🙏

    • @amoskagika8884
      @amoskagika8884 11 месяцев назад +3

      Maana yake ni kwamba mwili unatudanganya kwa kuufuata kila unachotaka hapa Duniani tunasahau mambo ya Mungu

  • @PubLinkiTV
    @PubLinkiTV 6 лет назад +5

    Mnanikumbusha nyumbani aisee. Hizi kwaya natamani zisife ziendelee kuimba style hiyohiyo

  • @shadrackdimson
    @shadrackdimson Год назад

    Mpo vizuri kwaya kuu lutengano

  • @luganomwakyusa7697
    @luganomwakyusa7697 Год назад

    Namshukuru Mungu kuzaliwa mnyakyusa

  • @bupemwansasu8402
    @bupemwansasu8402 3 года назад +1

    Ndgha fijho muimbili, kyala awatule

  • @gwamakamwakinunu2600
    @gwamakamwakinunu2600 7 месяцев назад

    Ndagha bha mama na bha bhabha mwimbile kanunu fijo

  • @bonaventuremwambaja6278
    @bonaventuremwambaja6278 Год назад

    kazi nzuri sana hongereni sana

  • @neemamwaijegha2109
    @neemamwaijegha2109 4 года назад +8

    Mwili hauna shukurani Kila siku unahitaji tu

  • @elifazmpozayo2930
    @elifazmpozayo2930 4 года назад +1

    Mbarikiwe sana🙏🙏

  • @nuhumwasamboma6989
    @nuhumwasamboma6989 4 месяца назад

    umbili ughu ghukutamya❤️❤️❤️

  • @DeboraMwakaje
    @DeboraMwakaje Год назад

    🎤🎤🎤hadi raha yan duuu

  • @abelmwakilembembwate5492
    @abelmwakilembembwate5492 4 года назад +1

    Kweli wanyakyusa tuko juu kwa uimbaji

  • @FedrickJaphet
    @FedrickJaphet Год назад

    Ni wazee lakini sauti kama vile ni vijana.Nawakubali sana hawa watu

  • @emmycharles8463
    @emmycharles8463 5 месяцев назад

    Akaluluuuu mwe ndaga mwimbile

  • @neemaenock9595
    @neemaenock9595 5 месяцев назад

    Mweeeh❤

  • @habilikamilo9038
    @habilikamilo9038 7 месяцев назад +2

    😂😂😂😂😂 Mimi apa nimeletwa na TikTok

  • @pasikomwafongo4679
    @pasikomwafongo4679 4 года назад +3

    Eeee e wa mwaisa mukuighesya kyala awasaje

  • @kipkorirsigei7337
    @kipkorirsigei7337 7 месяцев назад

    Tuko hapa mr

  • @GwamakaMwatija
    @GwamakaMwatija Год назад

    Umbili ughuuuu mwee mweeee lunyafu fijo

  • @ISAACMWAKATELULE
    @ISAACMWAKATELULE Месяц назад +2

    2025 🎉 nipen like

  • @rosticamposi7922
    @rosticamposi7922 3 года назад

    Kyala abhasaje bhandu bha tata

  • @kingswebe3251
    @kingswebe3251 6 лет назад +5

    Ndagha fijo mwe kyala abhatuleghe

  • @hongoalema2061
    @hongoalema2061 7 лет назад +3

    mungu awabariki

  • @ibrahimmwafi6446
    @ibrahimmwafi6446 5 лет назад +11

    Ulwimbo lununu ndagha mwimbile

  • @BarakaJamesNnko
    @BarakaJamesNnko 6 месяцев назад

    Ina miaka mingap maana daaa iko poaa sana ningepata lyrics yake ningefurah sana maana ningejifunza apo japo kinyakyusa kigumu kidgo

  • @davidkomba9781
    @davidkomba9781 6 месяцев назад

    Na Barbara kabisa Moja kwa Moja kutoka TikTok 😂😂

  • @Masoko_Tv
    @Masoko_Tv Год назад

    God bless this choir

  • @user-tp7go7mc7y
    @user-tp7go7mc7y 6 месяцев назад

    jamani hii nyimbo tamu😅👏🥴

  • @nuhugmail3452
    @nuhugmail3452 7 лет назад +6

    umbili ugwee
    ndaga fijo

  • @asiahjackob5937
    @asiahjackob5937 6 лет назад +5

    kyala abhasaje

  • @lusajomwakalinga5813
    @lusajomwakalinga5813 6 месяцев назад

    Tamaa za mwili hatari sana

  • @TwitikeMwakyonde
    @TwitikeMwakyonde 7 месяцев назад

    Amina,wA MAMA,NABIBI,BANGU,KOKAJA,KOMBEYA,

  • @tumainielia8902
    @tumainielia8902 6 лет назад +2

    kyala abhasaje bhapapi bhangu

  • @godloveadamu4379
    @godloveadamu4379 3 года назад +1

    Kyala abhasajeghe mwee mulumbhilile ndagha

  • @SteveSteven-s7m
    @SteveSteven-s7m 7 месяцев назад +1

    Umbili uguu MMA popapo loli😌

  • @jacksonmwakasege8236
    @jacksonmwakasege8236 2 года назад

    Mwee kuketa mpaka ulu 2023 Kyala atutule twesa

  • @beatusponsian7627
    @beatusponsian7627 6 месяцев назад

    ata mm nimekadikia tik tok ila jina ndo limenisumbua ila nimefurahi sana ingawa sielewi

  • @GodfreyB.Mwambete
    @GodfreyB.Mwambete 7 месяцев назад +1

    Kwakweli mma akanyembo kanunu fijo

  • @5.1Mgeography
    @5.1Mgeography 7 месяцев назад

    Song zuri sana

  • @amenyemwakipesile9762
    @amenyemwakipesile9762 3 года назад

    Nawaelewa sana hawa jamaa

  • @joycekandonga2170
    @joycekandonga2170 6 лет назад +3

    umbili keta ulile na kakali naloli gwigogile gwimwene

  • @noahmwambopo2365
    @noahmwambopo2365 5 лет назад +2

    Mko vizuli Sana nyie watu